October 09, 2017

KUMBUKUMBU YA ERNESTO CHE GUEVARA

LEO imetimu miaka 50 tangu mwanamapinduzi wa Argentina Enersto Che Guevara alipouliwa huko Bolivia. Che anafahamika kwa harakati zake za kupigania uhuru wa nchi kama DRC/Cuba na nyingine nyingi. Aliwahi fika Tanzania miaka ya 1960 Kupitia Ujiji-Kigoma na kukaa miezi saba kabla hajaondoka kuelekea Cuba. 
 
Che Guevara alikuwa ni Mwanaharakati/Mwanadiplomasia/Mjamaa na Mwanamapinduzi katika Karne ya ishirini. Mchango wake unakumbukwa na wengi Duniani, alikuwa ni swahiba Mkubwa wa Rais wa Cuba hayati Alejandro Fidel Castro #Socialism.


No comments:

Post a Comment

Maoni yako