December 01, 2017

NYASA: TUNAISHI KWA MIFANO, KUSEMA NA KUTENDA

Ilikuwa siku muhimu ya kukumbuka mambo niliyopita utotoni, kabla ya kugeukia elimu za darasani. Lakini pia hata nilipokuwa na elimu ya darasani bado nina mapenzi makubwa na mazingira haya yaliyonikuza.
Karibuni Nyasa.

Mhariri wa Blogu hii, Markus Mpangala akiwa katika Forodha ya Chivanga iliyopo kijiji cha Lundu. Picha hizi zinaonyesha mazingira halisi ya Nyasa yalivyo mazuri na utulivu wa Ziwa Nyasa. Siku hii ilikuwa ya kupalaza mtumbwi ili kukumbuka makuzi yangu miaka ya 1990. 
Tunaishi kwa mifano. Tunasema na kutenda kwani ndiyo msingi wa NISHANI MEDIA inayomiliki blogu hii pamoja na shughuli zingine. 
“KARIBUNI NYASA”.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako