January 19, 2018

MTO MAKATA WASABABISHA USUMBUFU KWA VYOMBO VYA USAFIRI MBAMBA BAY

Tukiwa tunasubiri Ujenzi wa Barabara ya Mbinga-Mbambabay mwezi February 2018, hali ya barabara MTO Makata mjini Mbambabay leo si nzuri kwani imesababisha masuala ya usafiri kusimama kwa muda. 
Basi la Abiria likiwa limeshindwa kuendelea na safari kutokana na eneo la mto Makata kuwa bovu.
Picha kwa Hisani ya Egbert Jemeny(pichani).

No comments:

Post a Comment

Maoni yako