March 12, 2018

KITABU KUHUSU CHINA

Nimemsoma Rais Wa Jamhuri ya watu wa China Mh. XI JINPING katika kitabu chake "THE GOVERNANCE OF CHINA" -Nilichojifunza nakubaliana na mtendaji mkuu wa EPZ Kanali Mstaafu Simbakalia kwamba Chinese are prepared to learn from others but will always import and make that experience relevant to their conditions, traditions and values. That’s why they have Communism “with Chinese characterstics” and Market Economy “with Chinese Characteristics” and so on.
 The Chinese don’t buy the “copy and paste” stupidity of “best practice” from Europe that purports to know what is good and works for everybody (Nakushukuru Sana Comrade Hussein Mtoro kwa zawadi ya kitabu hiki-Hotuba za JINPING zina mafunzo mengi.

©MKUU WA MKOA WA SIMIYU,

ANTONY MTAKA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako