Ni wakati ninaowaza ni sehemu gani nitaipenda kama ninavyoipenda nyasa.Wapi nitapapenda zaidi ya kijiji changu cha lundu?
yote heri bali ni kwa wakaazi wenye kupenda utulivu si fujo za mijini ambako hatautamaduni hakuna,watu wanishi kama mbayuwayu,wanatenda maovu kama hawana miongozo ya kanuni za maisha yao.
KARIBUNI SANA LUNDU KARIBUNI SANA NYASA
No comments:
Post a Comment
Maoni yako