August 15, 2007

Picha zipo.......!

Naam wasomaji kwanza niwatake radhi kwamba sijawea picha yoyote,lakini hii haimaanishi kwamba sipendi bali najaribu kuwasiliana na wataalamu ili waweze kufanya hilo na siku chache zijazo naweza kuweka picha maporojo mengine kibao si mnajua kwamba mwanzo mgumu?
kila heri fikra za maisha yenye maarifa zaidi lakini tukumbuke kwamba kila jambo lina wakati wake na nafasi yake tutunze nuda,tuutumie vyema ni wakati maarifa mapya

No comments:

Post a Comment

Maoni yako