August 15, 2007

Tumepigwa na butwaa!!!!!!!!!!!!????????????

Mbona kimya wana kwetu kulikoni nchi yetu imebong'a hivi
yaani kila mtu ipo siku atakuwa dobi kwa waishiwa wa kubwata na mabata huko mpwapwa
unaguna?
kazi kwenu wana nchi ya kujidai wa amani na utulivu mtaliwa kweupeeeeeee
hoja ya msingi imekuwa ya kupakana matope si kuhoji uhalisia wa mambo?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako