August 15, 2007

Tumepigwa na butwaa!!!!!!!!!!!!????????????

Eeee! unashangaa nini tena jamani hawa ndio wabunge wetu tunaojidai kwamba tumewachagua kwa wingi wa kura.Naapa kwamba mmeliwa mwaka huu mchana kweupeeeeeeeeeeee,si mmeona jinsi huko Dom kijana alivyokatwa ngebe kama mtuhumiwa....maajabu ya wanakwetu hawa hata ndugu zangu kule nyasa hawawezi kukubali hata kidogo...wallahi....

Ni bunge letu nimempeleka mwakilishi wa sauti za wanaotaabika kwamba hana ushahidi waklti hoja yenyewe ni ndogo tu kwamba tuchunguze.....

Mpaka januari 2008 ...mwanangu yaani hakuna cha masurufu wala marupurupu yote kayamwaga..duuu...
halafu wajinga fulani wanadai kuwa mwanasiasa mpaka uwe na hela ...haki ya mwenyezi hivi wameliwa mpaka nguo wanazo vaa.

Ndio huko dom kumetokea kusimamishwa kwa kijana anayedaiwa kuwa machachari toka chama cha watu wanaodai kwamba wanawakilisha maendeleo ya wanaohuzunika leo na kesho
usipitwe toa maoni yako ndugu......
uhuru daima....

No comments:

Post a Comment

Maoni yako