September 13, 2007

Katuni Nazipenda sana

Kuna katuni zinazochorwa wakati mwingine zinaweza kukufanya uwe na munkari a kufikiri.
kwani wachoraji wake wanaweza kuchora picha ambazo ni kama habari nzima za za magazetini kwa siku nzima.

kuna katuni za Simon Regis,Masudi Kipanya na Nathani Mpangala.Hawa jamaa wananifanya niwaone kama wanahabari wasioandika chochote bali wanakupa mchoro kisha sentensi moja baadaye tafakari mwenyewe.

Hoja yangu ni kwamba michoro ina habari tamu kuliko habari za uwongo za vyombo vya habari.
Namaanisha kwamba habari lazima ziwe na maudhui ya kuwafanya watu wapate maarifa si habari zinazosifia vigogo na uharamia wa kicheko kama ni ngonjera njema.

MUHIMU; Nitawaeleza habari kutoka nyasa kwa kila kijiji cha mwambaoni humo hususani mkoa wangu wa ruvuma na wilaya yangu ya Mbinga jimbo la Mbinga magharibi.
twende pamoja maana nisera yangu kuu kuhusu nyasa

4 comments:

  1. Oi, achei seu blog pelo google está bem interessante gostei desse post. Gostaria de falar sobre o CresceNet. O CresceNet é um provedor de internet discada que remunera seus usuários pelo tempo conectado. Exatamente isso que você leu, estão pagando para você conectar. O provedor paga 20 centavos por hora de conexão discada com ligação local para mais de 2100 cidades do Brasil. O CresceNet tem um acelerador de conexão, que deixa sua conexão até 10 vezes mais rápida. Quem utiliza banda larga pode lucrar também, basta se cadastrar no CresceNet e quando for dormir conectar por discada, é possível pagar a ADSL só com o dinheiro da discada. Nos horários de minuto único o gasto com telefone é mínimo e a remuneração do CresceNet generosa. Se você quiser linkar o CresceNet(www.provedorcrescenet.com) no seu blog eu ficaria agradecido, até mais e sucesso. (If he will be possible add the CresceNet(www.provedorcrescenet.com) in your blogroll I thankful, bye friend).

    ReplyDelete
  2. ndugu yangu sijui ndiyo lugha gani hiyo labda ungejaribu kuniambia kikoloni(kiingereza)"english" ningekuelewa lakini hapa naona hata wasomaji watasema lugha gongana.

    ReplyDelete
  3. asante sana crescenet,lakini polepole ndiyo mwendo.don't worry i will do later on but hope to get the good,the better,and the best in my blog.

    wellcome back friend

    ReplyDelete
  4. habar ako kaka hongera kwa kazi nzur ya blog yako

    ReplyDelete

Maoni yako