April 30, 2008

Bado Hasira hazijaisha kwani nakumbuka sna Nyasas

Unajua kipi kinachonikasirisha hapa?aa samahani siyo hapa kwenye blogu yangu bali huku ninakoongeza kaelimua Mlimani chuo kikuu cha Dar es salaam.LKulikuwa na mgomo na vurugu za hapa na pale watu wanalilia haki halafu watawala wahuni na wasiojali utu wa wanafunzi wanakandamiza uhuru wa kufikiri.Ngoja nikomee hapa kwani ukisoma mengi utasema nimehama nyasa yangu na kuandika yasiyonihusu.Nyasa napakumbuka kwasababu ni nyumbani na napapenda kuliko chochote.Ngoja kuna habari nimezipata kwa wanyasa nitaandika

No comments:

Post a Comment

Maoni yako