April 27, 2008

Mgomo wa Mlimani na Sherehe ya Muungano wa Tanzania

Ndugu zanguni mnyasa likuwa kimya tokana na songombingo kama siyo sekeseke na kasheshe la Mgomo wa hapa Chuo kikuu cha Dat es Salaam sehemu ya mlimani.Kwa jweli nimejikuta nikipata homa na huzuni kwani huwa sipendi haki kudhulumiwa na watawala washenzi kabisa wa aina hii.Iliniuma kutangaziwa sisi wanafunzi wa Mlimani ni wahalifu na wavutaji bangi.Lakini yote hayo yalikuwa yakifanyika ili kutimiza ngebe zao za kijinga na ushenzi wao mkubwa.Ninaandika kwa huzuni lakini wanamapinduzi kamwe hatuachi kuhoji ushenzi kama huu.Lakini kwa jina la Mwalimu Nyerere uhuru utadumu hata kama hawataki kuacha huru mapambano yanaendelea.......Naam muungano wa Tanzania,yaani natafuta picha ambazi zinaweaza kunifanya nimwone mwal;imu wangu wa kufikiri Julius Kambarage Nyerere,ngoja naendelea kuzisaka nitaiweka hapa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako