June 04, 2008

Wamo,Siyo Samaki pekee

kama unafikiri wanyasa wanachokiweza ni kuvua samaki na kujua majiraya kutega nyavy zao basi hujakosea ila hujui nini kinachoendelea hapo.Tazama wanaume wakiwa mzigoni wamekaza viuno,meno,miguu mpaka ngozi hakuna masihara hapo utaumia.kwanza inabidi uwe umeshiba sahani kama tano za ugali wa muhogo ikiwa wewe ni mgeni,lakini wenyewe ni nguvu za asili wale hawajui kwendaklabu za mazoezi kama huko mijini kwenu wanaogopa kansa shauri ya kutu za vyuma.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako