July 31, 2008

wanyasa wakiwa na mitumbwi yao

ni zana ambayo inatufanya turinge sana.unajua kuna washashi wanapenda sana mitumbwi?wengine walifikiri kutumia mitumbwi ni umasikini,basi siku moja nikawaambia wengine kuwa huo ni utamaduni siyo umasikini.wakanywea wakawa kimya,wakaona kumbe siyo lazima kutumia maboti yao.

2 comments:

  1. Anonymous31 July, 2008

    help me.

    ReplyDelete
  2. Anonymous31 July, 2008

    Thanks to the blog owner. What a blog! nice idea.

    ReplyDelete

Maoni yako