October 14, 2008
kama ninge...... kama ningekuwa Nabii Mwalimu Nyerere
wale wanaoabudu dini zao wana manabii wao. Nami sioni soni kukuita Nabii wa kweli kwa imani ya kiafrika wala iyo wale waliozaliwa mashariki ya kati. Mungu wetu yu pamoja nawe. kama ningekuwa wewe .........
Madhumuni
amani na upendo,
falsafa,
familia,
Hisia za moyo,
kumbukumbu,
Liwazo,
maisha,
mapenzi,
mila na desturi
WASIFU: Mwandishi wa Habari,Tawasifu,Mhariri na Mchambuzi wa Vitabu,Siasa, Utamaduni, Michezo,Afrika, Kimataifa,Mshauri wa Habari na Mikakati. TUWASILIANE: mawazoni15@gmail.com, lundunyasa@yahoo.com. WHATSAPP; +255 719226293/SMS; +255 764 936655
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
kwa kweli hakuna atakaye msahau baba yetu wa Taifa na pia Raisi wetu wa kwanza. Unafikiri kuna mmoja yupo kama yeye?
ReplyDeletekwasasa hauypo ila huenda yupo miongoni mwetu. unajua watu kama hawa huwa wanazaliwa upya kwa watu wengine. unabisha? anza kuifuatilia historia ya Abraham Linclon na John F Kennedy wa Marekani. hawa ni marais ambao wanafana kwa mengi. Yaani inaaminika Lincoln aliyekufa lakini miaka 100 baadaye kazaliwa kama Jonh F kennedy. ukweli naamini kuna Julius k Nyerere mwingine kama hajazaliwa basi atazaliwa lakini siyo vibaka waliopo sasa
ReplyDeleteLabda naamini kidogo kuwa anaweza akazaliwa au ameshazaliwa kama yeye lakini hatakuwa sawa kabisa kama alivyokuwa Mwl. Pia naamini hapa duniani tupo wawiliwawili
ReplyDeleteamini nakwambia atakuwa kama yeye labda maeneo ya kuzaliwa huko
ReplyDelete