November 15, 2008

hatuchoki tunataka haki sawa hapa siyo longolongo

SIWAOGOPI HAWA WENYE NYWELE NDEFU NA KUNENEPEANA KWA SHIBE ZAIDI, BALI NAWAOGOPA WANYONGE NA WENYE NJAA- Julius Caesar. Chuo kikuu kimefungwa shauri ya migomo ya kutoingia madarasani. Lakini hawa walionenepeana halafu wakashangilia kwa mikogo eti OBAM kashinda. Zinawatosha ninyi??? sheria za kikandamizaji ataondoa huyo? wizi wa mitihani ataondoa huyo kuweka meli za kuvulia samaki ataleta OBAMA, kwania ananihusu nini?? ninyi ndiyo milompigia kura??? mliomba kwa mungu, ina maana asingejaza fomu basi mungu angelimjazia ha ha ha ha ha ha ha ha

No comments:

Post a Comment

Maoni yako