January 05, 2013

HATUA KWA HATUA YA AJALI YA BUS LA NEWFORCE ILIYOTOKEA NYORORO-IRINGA KAMA ILIVYOSHUHUDIWA NA EGBERT JEREMY


Kama inavyoonekana pichani bus la NewForce likiwa limepinduka kijiji cha nyororo mkoani Iringa

Mizigo ikitolewa ndani ya Bus baada ya kupinduka
Mashuhuda wa ajali hiyo.

Mwanamke anaonekana kwa mbali hapo akiwa ameanguka kutokana na bus kupinduka hivyo kukosa mwelekeo wa kujiokoa. 
Bus la NewForce likivutwa ili likae sawa barabarani baada ya ajali.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako