September 21, 2017

UJENZI WA UKUTA MKOANI MANYARA

PICHANI:  Meja Jenerali Michael Isamuyo atua Mererani, Mkoani Manyara kukagua maeneo ambayo ukuta utajengwa kwa ajili ya ulinzi wa madini.


Wananchi wakiangalia Helikopta ya JWTZ iliyomleta meja jenerali Michael Isamuhyo kusimamia ujenzi ukuta wa eneo la vitalu A hadi D katika machimbo ya Tanzanite ,Mirerani.

PICHA KWA HISANI YA; Innocent Vitalis Inno

No comments:

Post a Comment

Maoni yako