September 21, 2017

SIDHANI KAMA UTU UMEZINGATIWA HAPA.



NA DK. RICHARD MBUNDA

MOJA ya misingi mikuu ya tanu na ccm ni kujali utu wa binadamu. Kamati ya Haki, na Maadili ya Bunge imeshindwa kumhoji Mh. Saed Kubenea baada ya kujiridhisha kwamba hali yake ya afya sio nzuri. Mh kubenea amepelekwa Hospital ya bunge baada ya kamati kuona afya yake sio nzuri.

Kamati hiyo imesema Kubenea ataitwa tena kuhojiwa baada ya kujiridhisha kuwa afya yake imeimarika. Ikumbukwe jana jeshi la polisi lilimtia nguvuni Mh. Kubenea akiwa hospital ya Aghakhan ambako alikuwa anapatiwa matibabu.

TUNAJENGA NCHI YA AINA GANI?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako