September 21, 2017

KWANINI MAJAJI WANAVAA MAWIGI?



Kwa wenye taaluma mjadala huu unafaa. Kuna mengine pia yamesema, mfano majina ya Victoria Falls, Ziwa Victoria na kadhalika. Makala hayo yalichapwa kwenye gazeti la THE CITIZEN toleo la Jumatano, Septemba 20, 2017. 

Swali linabaki kwanini Majaji huvaa mawigi hadi sasa wakati ni ishara ya ukoloni? Kwa mujibu wa gazeti hilo Wigi moja hugharimu kiasi cha Dola za Kimarekani 6,500.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako