December 09, 2017

SOMO LA LEO: BENKI YA WANAWAKE NCHINI HOI

“Benki ya Wanawake haifanyi vizuri, nikiwaficha nitakuwa mnafiki, tangu kuanzishwa na mtaji kupewa na serikali ‘performance’ yake ni ‘very poor’ na wakopaji wengi ni wanaume. Nataka niwaeleze, wala si wanawake wanaokopa pale na ‘interest’ ni kubwa kweli kwa wanawake, sasa unakuwa na benki ya wanawake lakini inawaumiza wanawake. Kwahiyo tutaiangalia vizuri kwa ushindani wa kisasa, hili lazima kina Mama niwaeleze kwani msema kweli mpenzi wa Mungu na katika taratibu za sasa za benki  ambayo itashindwa kujiendesha inakwenda,”
 
-Rais John Magufuli, Dodoma, Desemba 8/2017

No comments:

Post a Comment

Maoni yako