February 28, 2018

SIKU YA MASHUJAA SONGEA


Wanafunzi wa shule mbalimbali wa Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma, wakiliangalia kaburi la Nduna Songea Mbano, aliyezikwa kiwiliwili tu na kichwa chake kupelekwa Ujerumani, kwa kuwasumbua wajerumani kukata kamba ya katani Mara tatu na baadaye kupigwa risasi. Mashujaa wengine 65 walizikwa katika kaburi moja halaiki. Leo ni kumbukizi za mashujaa wa vita vya majimaji walionyongwa miaka 112 iliyopita. (27.02.1906).

PICHA NA JUMA NYUMAYO

No comments:

Post a Comment

Maoni yako