February 28, 2018

RIWAYA YA NYASITIKI


Nyastiki ni kitabu cha Riwaya kinacho mzungumzia binti aliyefeli mtihani wa darasa la saba na baadae anarudi darasani kusoma.
Nyastiki anakutana na vikwazo vingi lakini hakati tamaa,pia kwenye kitabu cha Nyastiki kimezungumzia namna kina mama wa kambo wanavyotesa watoto hao wa kambo,
Pia namna kina baba wanavyotelekeza familia zao na kuwaachia wakina mama mzigo wakulea familia peke yao.
Nakala ya riwaya hii inapatikana kwa tsh 5000/= tu
Weweza kukipata kupitia

+255712640303
+255767640303
AU email adress
maria.mihanjo@gmail.com

No comments:

Post a Comment

Maoni yako