February 19, 2018

WAKATI MWINGINE TUNATAFITI MAMBO MBALIMBALI KATIKA MWAMBAO WA ZIWA NYASA

Kizito Mpangala
Kizito
Honorius Mpangala

Bwana Kizito na Honorius Mpangala wakiwa kwenye msitu ya kando kando ya Mlima Chipyaghela ambao unaingia hadi ziwani. Ilikuwa kwenye shughuli za kuchunguza mapango yaliyotumiwa yaliyopo katika eneo la Tingitingi, ambayo mababu enzi hizo za vita kati ya wageni (wangoni) na wenyeji wa Kijiji cha Lundu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako