April 19, 2008

Nyasa,Mila,Desturi+Miaka 14 Ughaibuni

Kuna habari moja imenifurahisha sana. nimjikuta nikiwa katika tafakari kuhusu habari yenyewe. lakini ni jambo muhimu kukumbuka mambo ya nyumbani nyasa kwa wale mliopo ughaibuni.Hii habari lazima tuitafakari sisi wanyasa ambao tumeishi sana na wamisionari hivyo twayajua mengi.Soma habari nzima ,bonyeza hapa www.ruhuwiko.blogspot.com inahusu namna maisha ya wazungu yanatawaliwa na ubinafsi na kujitegemea mwenyewe kinyume na wanyasa tuombao chumvi kwa majirani zetu.ughaibuni haipo hiyo....utaomba kwa nani

No comments:

Post a Comment

Maoni yako