June 03, 2008

Mnyasa Nimetua Chinula Wageni Mnasemaje hapo

Naam ndiyo nyasa yetu hiyo.Hapa ni barabara ambayo inakwenda moja kwa moja mpaka mji wa Mbamba Bay ambao ni mji mashuhuri sana katika ukanda wa nyasa una bandari nzuri sana,ingawaje sijaandika kuhusu sifa zake lakini polepole tutafika tu.Hapa ni maeneo ya kijiji cha Chinula pembeni ya mji wa Mbamba Bay.Angali nyumba zetu wala sina hamu na maisha yenu huko mijini.Usicheke basi kwani hatuna uhai?

1 comment:

Maoni yako