June 04, 2008

Mshashi Anavinjari Nyasa

Inaelekea huamini kama nyasa Washashi wanakuja kuselebuka..Bisha na hii.Halafu kuna jamaa anapenda sana kupingapinga mambo sasa nampa ngumi ya tumbo,sikio na mbavuni aaah samahani nilisahau bado sijapona ile ngumi ya ukutani ya yule jamaa.Hebu mwangalie Bibie huyo,anakukuna sana?eeeeh usije ukatangaza ndoa..wala sihusiki,lakini ananiambia anataka mvulana mwenye mwanya,je unao?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako