July 27, 2008

Amerudi tena mnyasa...hamjambo?

nilikuwa nje ya kijiji changu hapa,lakini nimerejea na karibuni nyasa

2 comments:

  1. je ulikuwa mgonjwa kwani ulipotea sana. ila safi. good you are back

    ReplyDelete
  2. jamani tumwache kwanza pengine atajieleza mwenyewe au hajui kujieleza maana nasikia muoga sana huyu.Eti mwenyewe utwambie au si kweli?

    ReplyDelete

Maoni yako