September 04, 2008

njaa inauma sana waungwana? karibuni kitoweo

shibe mwana malevya..... njaa mwana malegeza..... kulala na njaa kupenda....

4 comments:

  1. mmh magege hayo au? umenitesa kweli ila we ngoja tu nipo njuiani nakuja hukohuko nitawala kweli mpaka.......sisemi sana

    ReplyDelete
  2. somba, nchomba, fish, fisk, samaki, pescado ni chakula changu ambacho nikipenda sana

    ReplyDelete
  3. Ukisikia kutakiana ubaya ndio huku kuweka picha za kututamanisha. Samaki wamenona hao nawatamania.

    Zikomu
    Mama Malaika

    ReplyDelete
  4. Somba, Ugali wa muhugo, jamani nimekumbuka kunyumba leo!

    ReplyDelete

Maoni yako