November 21, 2008

alaah kumbe wavuvi nao wanaofisi zao, kumbeeee


mnyasa naye yupo

6 comments:

  1. je nasisi walala hoi tunaweza kupata kazi hapo ofisini?

    ReplyDelete
  2. kazi zipo lakini masharti ni yale yale marufuku kunywa pombe kwahiyo wewe na kaka Simon wala msiombe najua mtakosa shauri mmekosa sifa mnalewa sana. KWAHERI

    ReplyDelete
  3. basi kama unatukataa sisi huwezi kupata wafanyakazi bora kuliko sisi umekula hasara sana

    ReplyDelete
  4. huyu jamaa mshamba hataki wafanyakazi walevi au wanywaji? jamani hilo ni uhuru wa mtu kwahiyo mbona anawanyanyapaa?

    Mwalingo
    Dar

    ReplyDelete
  5. naam Mkuu nipe dili maana mida mibovu hii

    ReplyDelete

Maoni yako