December 27, 2008

Dada KOERO karibu ndani !!

Jamani eeeeeeeeeeh, sina neno ila karibu sana tena sana dada KOERO, hakika tutajenga mnara katika miamba. hakuna jambo rahisi kama kuifanya nafsi ifurahia kile unachokiona kinafaa daima. Ni jambo ambalo kila mtu anaweza kulitenda ikiwa tu anaongozwa na dhamira imara lakini ni uwezo wa kuyabadili mazingira yetu kwa wakati wetun ndiyo huu ni WAKATI WETU, TUNAWEZA HAYA TWENDA NA DADA KOERO. KARIBU NDANI katika SHAJARA wengine mnasema BLOGU poa tu.

Ni mimi Markus Honorius Mpangala mvuvi wa nyasa na mnyasa wa nyasa.

1 comment:

  1. KARIBU SANA MGENI WETU, LAKINI WEWE NI MWENYEJI

    ReplyDelete

Maoni yako