July 21, 2010

MAKALA MPYA; TANZANIA; Azimio la Arusha na miluzi ya ubepari

TANZANIA; Azimio la Arusha na miluzi ya ubepari (1)

Nmesoma mara nyingi hoja za madai kwamba sera za Ubepari ni nguzo ya uchumi wa dunia. Katika kupitia hoja hizo, nakubaliana nao kwa kiwango fulani lakini iko haja ya kuchanganua zaidi na namna ya kuinua kiwango cha hoja zao. Dai lao la kukumbatia ubepari linatokana na mfumo wa soko huria uliobuniwa na kupigiwa mbiu sana na Adam Smith ambaye aliandika katika kitabu chake cha Wealth of the Nation.

Baada ya kukaa kimya kwa kipindi kirefu licha ya kushawishiwa na wale wanaoniamini kuwa ninaweza kuzichambua sera hizo- nilipanga kunyamaza na kuangalia mustakabali wa uchumi wa dunia. Niliamini muda utasema, na sasa nimeamua kusema kwamba Miluzi mingi ya Ubepari inampoteza Mbwa mwelekeo’. ...................

                   Usipitwe, isome yote

No comments:

Post a Comment

Maoni yako