July 21, 2010

MAKALA MPYA; Je Waafrika tunapenda sana ngono?

Je Waafrika tunapenda sana ngono?


MWAKA 2003, katika Gazeti la The Guardian la Uingereza, Mwanasafu wake Hanif Kureishi alipata kuandika ‘Huwezi kujua kamwe uliyoyatamka yataleta maana gani kwako mwenyewe au kwa mtu mwingine ama ulimwengu wa maneno utakayoyaumba utakuwaje. Lolote lile laweza kutokea. Tatizo la kukaa kimya ni kwamba tunajua nini kitatokea’.(mwisho wa kunukuu).
                      
                       usipitwe, isome

No comments:

Post a Comment

Maoni yako