October 10, 2010

WASOMI NA WANASIASA WANATUREJESHA UTUMWANI?

KOLE OMOTOSO ameibua mjadala mkali kwa baadhi ya watu barani afrika. Mnamo septemba 10, mwaka huu aliandika makala iliyochapishwa na Mail&Guardian, la nchini Afrika Kusini.

Katika makala hiyo mwandishi huyo anaeleza mambo mengi juu ya demokrasia ya bara la afrika na namna uongozi wa nchi mbalimbali ikiwemo Afrika Kusini namna wanavyoshindwa kuziendesha nchi zao.
 SOMA MAKALA NZIMA USIPITWE

No comments:

Post a Comment

Maoni yako