October 18, 2012

TANGAZO LA USAILI KWA WAOMBAJI WA KAZI SEKRETARIETI YA AJIRA NCHINI

Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inawatangazia wote walioomba nafasi za kazi wanatakiwa kwenye USAILI ifikapo tarehe 25 oktoba hadi tarehe 02 Novemba, hizo zitakuwa siku za usaili kwa waombaji nafasi za kazi.

TAARIFA ZAIDI SOMA HAPA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako