October 22, 2012

UZURI WA FUKWE ZA ZIWA NYASA, MABADILIKO YA TABIA NCHI

Hapa ni ufukwe wa Ziwa Nyasa katika eneo la Matenje (Matenje Beach). Kijiji cha Matenje kipo kilomita chache sana kutoka makao makuu ya wilaya ya Nyasa, yaliyoko mji wa Mbamba Bay.
Fukwe nyingi zimejaa uzuri na haitakuwa maajabu kuona wimbi la watalii kandokando ya ziwa nyasa pindi miundombinu itakapoimarishwa. Na hakuna shaka nchi yetu ni nzuri na harakati za kuboresha ni nzuri kwa kiwango chake.

KARIBUNI SANA NYASA
Picha: Hoops Kamanga, ambaye alikuwa katika utafiti wa MABADILIKO YA TABIA NCHI kwa muda wa majuma matatu wilaya ya Nyasa.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako