November 01, 2012

AYUBU RIOBA ALIPOTOA NONDO ZA NGUVU CHUO KIKUU CHA TAMPERE, FINLAND

AYUBU RIOBA akiwa katika Chuo Kikuu cha Tampere, jijini Tampere nchini Finland, ambako anapata Shahada ya Udaktari wa Falsafa(Phd) katika Sayansi ya jamii.
Kabla ya kufanikiwa kutunikiwa shahada hiyo, alitumia muda wake zaidi saa mbili(masaa mawili) kutetea utafiti wake juu ya "Media Accountability in Tanzania's Multiparty Democracy: Does Self Regulation Work"?
Baada ya mjadala mzito wa kitaaluma na maswali mengi kutoka kwa Profesa Audrey Gadzekpo kutoka Chuo Kikuu cha Accra, Ghana, pamoja na jopo la Maprofesa walifikia hitimisho na kumtunukia Shahda ya Falsafa ya uDAKTARI(Phd) katika fani ya Sayansi ya Jamii. Bila shaka ni jambo la kujivunia kwa watanzania na kwake AYUBU RIOBA. Mwenyzi Mungu ampe afya njema na kumlinda.

1 comment:

  1. A PHD.....>>>>Very nice work indeed and inspirational

    ReplyDelete

Maoni yako