December 22, 2012

NAFASI YA KAZI ICT TECHNICIAN; MWISHO JANUARI 14, 2013

Anahitajika ICT TECHNICIAN, mwenye uzoefu, ujuzi na uwezo wa kusimamia masuala yote ya IT katika mtandao, servers, software development, maintenance and trouble shooting, and hardware maintenance.
Kama unazo sifa hizo hapo juu basi unakaribishwa kuomba nafasi ya kazi hiyo ukiambatanisha WASIFU WAKO (CV) na kuzipeleka kwenye ofisi zetu zilizopo ghorofa ya 9 katika jengo la NSSR HIFADHI HOUSE makutano ya mitaa ya Samora Avunue/Azikiwe Street Dar es salaam. Tuma kwa njia ya P.O BOX 3209 Dar es salaam.
Tarehe ya mwisho kupokea maombi hayo ni januari 14, 2013.
WAHI SASA.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako