January 21, 2013

UHARIBIFU WA MAZINGIRA MDUNDUALO-MBINGA


Egbart Jeremy
Na Egbart Jeremy, Mbinga

Utunzaji wa mazingira umekuwa jambo muhimu sana. Kwa muda mrefu ripoti mbalimbali zimekuwa zikielezea juu ya umuhimu wa kutunza mazingira. Kuna wataalamu wa mazingira wamekuwa wakishughulikia ukaguzi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kwenye wilaya ya Mbinga. Miongoni mwao ni hapa pichani wataalamu wa mazingira wakikagua uharibu wa mazingira uliojitokeza kwenye maeneo mbalimbali.
Mathalani ni kijiji cha Mtundualo, kilichopo kwenye wilaya ya Mbinga ambako kunaendeshwa uchimbaji wa makaa ya mawe (TANCOAL). mtundualo ni miongi mwa maeneo yanayokaguliwa mara kwa mara kutokana na hali iliyowahi kujitokeza pia katika kijiji cha Ndumbi, kilichopo wilaya ya Nyasa.

Mtaalamu wa mazingira kutoka ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa wilaya, Egbart Jeremy akijadiliana jambo na ofisa usalama na mazingira kutoka mgodi wa makaa ya mawe(TANCOAL) kuhusu uchafuzi uliofanywa na 




Timu ya wataalamu wa mazingira wakikagua uharibu wa mazingira kijiji cha Mdundualo
                            
Mtaalamu Egbart Jeremy akikagua maji yanayodaiwa kuathiriwa na uchafuzi wa mazingira kutokana na uchimbaji wa makaa ya mawe(TANCOAL)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako