September 15, 2017

FIKIRIA UMRI WAKE


MIMI ni miongoni mwa watu ninaopenda kujisomea vitabu. Nimefunzwa hilo tangu nikiwa kijijini kwetu Lundu. Mafunzo hayto ni kutokana na wazazi nilivyowaona wakiwa bize na vitabu wakijisomea au kufanya shughuli zao.

katika umri wangu siwezi kusema sina mdua kwakuwa nimeshazoea hilo. Kwahiyo ninakukumbusha msomaji tafakari mwonekano wake wa huyo bibi pichani. Mtazame namna alivyojikita ili asikose uhondo. Mwangalie kwa mara nyingine.

Hivi husomi vitabu kwasababu huna muda?




No comments:

Post a Comment

Maoni yako