October 11, 2017

TAARIFA KWA WANAHABARI

CHAMA cha ACT Wazalendo leo Oktoba 11/2017, kimewasilisha Mahakamani kesi ya kupinga uteuzi wa Katibu wa bunge uliokiuka Katiba na sheria za nchi. Taarifa zaidi juu ya suala hilo zitatolewa kesho baada ya taratibu za kimahakama kukamilika.

Abdallah Khamis
Afisa Habari ACT-Wazalendo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako