January 04, 2018

BENKI KUU YAFUTA LESENI ZA MABENKI MATANO

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imezifutia leseni, na kuzifungia kufanya shughuli zozote, benki 5 za kibiashara ambazo ni Covenant Bank, Efatha Bank, Njombe Community Bank, Meru Community Bank na Kagera Farmers Cooperative Bank. Sasa wateja wa benki hizo watalazimika kuwasiliana na BOT ili kujua hatma yao.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako