August 26, 2007

Haya wamekwenda kuagua Buzwagi.

Inawezekana kama mzaha lakini ndiyo ukweli wenyewe maana kila siku ni za magonjwa tu.
ziara imekuwa zogo,inafunika kile kinachozungumzwa na kilichosababisha jamaa kuondolewa kule kijiweni kanda ya kati.

Kuna matatizo kule hivyo inaonyesha bora kwenda kuagua ili angalu kuponya na kuzimisha moto wa wenyewe na kuwaonyesha meno 32 na kwa vyovyote wasahau kwa vijijengo vyao vya laki moja kama viota vyipwa baada ya kuondolewa kwenye makasri yao ya maana.
salamu zao haa nilipo ni mbali na mako yetu,kwasabau huku nyasa tumezoea kuvua samaki mfano ngorokoro,perege,mandongo,kambale,mbasa,manswena,ntaka n.k.
lakini tunashukuru tunashiba sijui hao wenzetu huko Buzwagi washiba hivyo vijumba vyao maana naona kila siku natumiwa taarifa huku kijijini kwangu na marafiki waliopo mjini eti jamaa wamejengewa viota ili wahame na mali itegulishwe uchumi. samahani huku kwetui tunakula hata mlenda,kisamvu,matembele lakini hatuna dhahabu sijui ingekuwaje;maana wanyasa ninavyowajua! wangewangiwa kama huko kwenye madini?