August 24, 2007

Simon Regis ni nyota angavu

Nimekuwa nikijiuliza huyu bwana kwanini anouwezo wa kuchora namna hii.kumbe ni mazoezi na bidii ya kutunza kipaji chache.Yaani huyu bwana anachora picha ambazo kwa mtu makini anaweza kudhani ni mashine tu kumbe ni mkono wake wa kuume ndio huo unaofanya kazi yote hii.
kama unabisha hilo jaribu kuingia katika sehemu moja upande wa kulia hapa inaitwa kwa lugha ya kikoloni OLDER POST halafu tazaqma picha ya kwanza aliyotuma kwangu,yaani mchoro fulani hivi wa SADC-sijui ndio mdudu au ni mdomo wa wakoloni.
Mtazame katika blogu yake ya..........
regiscartoon.blogspot.com