September 02, 2007

Hata iwe vipi,maarifa yapo popote

Haah! acha tu nishangae kwani kuna mambo yanyoendelea katika sayari hii ya dunia ni ajabu kabisa..hebu tafakari hujamuaona mtu wa karibu yako ambaye ni rafiki yako halafu ukisikia yupo karibu hapo utafanyeje.bila shaka ni faraja tu.
Haya achana na hilo kuna hawa jamaa nawaona kama wakombozi hebu watazame kwanza.

http://www.bongocelebrity.com/

http://www.uchambuzi.wordpress.com/

http://www.saidiyakubu.blogspot.com/

http://www.harakati.blogspot.com/

http://www.blog.mirecipe.com/

http://www.freddymacha.blogspot.com/.

Ya pili kutoka chini kwenda juu ni ya dada mmoja hivi machachari sana.
Hebu burudika humo ndio maana nasema kuna watu wana mambo mazito kwa watu makini,na wengine wote wa Tanzania kwani wote ni ndugu.

1 comment:

  1. ndiyo kwani kuna la kushangaa hapo,ila ipo siku maarifa haya yatafikia kwa kila mmoja

    ReplyDelete

Maoni yako