June 14, 2008

Twende Pamoja!!! Hivi ndivyo Walivyoshangilia Leo Dhidi ya Kameruni

Pamoja na uwezo wetu mdogo wa soka lakini tumewaonyesha Kameruni tunajua maana ya soka ....kama hivi kwa umoja wetu

1 comment:

  1. Anonymous22 June, 2008

    bendra ila furahisha kinoma markus acha tujivunie hilo bendera kwani Nyererealibuni nawatu wake au siyo!mkazuzu

    ReplyDelete

Maoni yako