June 22, 2008

Unakumbuka Pale Liuli....Pomonda?

Ndiyo hapo sasa.Hapa ni Liuli katika ghuba yake ile pale bandarini halafu ukiangalia kwa mbele kuna mawe.Pale ni mahala maarufu sana panaitwa POMONDA,pale ni mahali ambapo kuna saini ya David Livingstone enzi za ukoloni.Tazama vizuri kuna kama vivuli hivi....hayo ni mawe ndugu.kumbukumbu za wakoloni na mambo yao.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako