July 04, 2008

Kiangazi Mambo Huwa Bomba Sana

Kipindi hiki ziwa nyasa huamabatana na dhoruba kali sana,wakati mwingine inategemea hali ikoje maana dhoruba inaweza kuvuka hata mwezi septemba kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.Lakini matajaio kuanzia septemba mambo huwa bomba sana hali inamkuna kila mmoja,watu huogelea sana ndiyo msimu wa wanyasa kupumzika kidogo.Ni kipindi safi sana ambacho kila mmoja anakifurahia,iwapo hakuna mabadiliko ya hali ya hewa.Hakika ni kipindi chetu hicho ndipo tunapoona mambo bomba sana.Inakuwa kama hivi...

No comments:

Post a Comment

Maoni yako