September 05, 2008

siyo kuvua samaki pekee.......hata hii pia

hivi ni vichwa ambavyo vilikuwa vikinisumbusa sana.Utakuta kwa siku anaweza kukuletea maswali hata matano ambayo unaumia kichwa ile mbaya. Ni vichwa toka sekondari ya Magoza kule Tabata Segerea karibu na gerezani, usije ukadhani ni wafungwa hawa ni wanafunzi. Pembeni ni mkuu wa Taaluma Mrs Mbota. Halafu hicho kichwa kilichopo jirani nami ni Rahma Omary,halafu wenzake ni Mary Ndonde(toto la kinyasalipo mjini), na Elizabeth aliye na tabasamu. kwahiyo wanyasa hata hii tumo au unadhani kuvua samaki tu....hola hiyo...hapo acha utundu wa kompyuta

2 comments:

  1. kaka Markus mmependeza kweli. wasalimie wote

    ReplyDelete
  2. kaka Markus mmependeza kweli. wasalimie wote

    ReplyDelete

Maoni yako