September 24, 2012

UWEKEZAJI KATIKA KILIMO CHA MITI-MUFINDI, IRINGA


KILIMO CHA MITI YA MBAO, NGUZO NA KARATASI mjini MUFINDI.
FRESH FARM(T) inakuhakikishia UAMINIFU wa hali ya juu. Tayari wapo waliowasilisha taarifa zao kuhitaji MASHAMBA ili wafanye uwekezaji katika kilimo cha miti ya nguzo, karatasi na mbao. 


FRESH FARM(T); Wanauza mashamba yenye miti (ardhi pamoja na miti); maeneo ya Mufindi-Iringa kilomita 75 kutoka Iringa mjini). Bei ni tsh 600,000 hadi 1,000,000 kwa ekari. 

MAMLAKA: Taratibu za umilikaji/umilikishwaji wa ardhi/ununuzi/upangaji tunazingatia SHERIA YA ARDHI YA MWAKA 1999, SHERIA NAMBA 5. wahi sasa.


Fresh Farms (T)-Albert Sanga (Director) 0766 742414/0719 127 901

e-mail; stepwiseexpert@googlemail.com
Markus Mpangala (Advertising Officer)- 0764936655
e-mail: mwanazuoni27@gmail.com

1 comment:

Maoni yako