October 17, 2012

THOMAS ULIMWENGU NA MBWANA SAMATTA

Thomas Ulimwengu(kushoto) na Mbwana Samatta(kulia) wakiwa katika picha ya utani(kuchekesha), muda mfupi kabla ya kupanda ndege kuelekea Tunis, nchini Tunisia.

HABARI; Shirikisho la soka barani afrika(CAF) limeteua waamuzi wapya wa kuchezesha mechi ya marudiano ya nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya mabingwa watetezi ESPERANCE ya Tunisia dhidi ya TP Mazembe a.k.a Nguvu ya Mamba ya DRC. Soma hapa zaidi

Dakika chache zilizopita nimezungumza na Mbwana Samatta, ameniambia lazima waing'oe Esperance. Tumuombee na mwenzake Thomas iliw wawakilishe vema. 

No comments:

Post a Comment

Maoni yako